uwezo logo


Tunakusikiliza, Unafanikiwa

Uwezo Financial Services Limited (UFSL) ni taasisi inayomilikiwa na kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG). Kampuni ya Uwezo inatoa mikopo midogo midogo na ya kati kwa makanisa, Taasisi za Makanisa, idara za kanisa (WWK, CAS na CMF), Wachungaji na washirika.Kampuni ya Uwezo ina lengo la kuwawezesha watanzania kukabiliana na changamoto za kiuchumi na kifedha kwa kutoa mikopo ya riba nafuu kwa wateja wake nawengine.


Mikopo na riba zetu ni nafuu uhakika jiunge nasi sasa.

Uwezo finance kwa ajili yako