TAMKO KUHUSU USHOGA
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa

Uwezo Financial Services Limited (UFSL) ni taasisi inayomilikiwa na kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG). Kampuni ya Uwezo inatoa mikopo midogo midogo na ya kati kwa makanisa, Taasisi za Makanisa, idara za kanisa (WWK, CAS na CMF), Wachungaji na washirika.Kampuni ya Uwezo ina lengo la kuwawezesha watanzania kukabiliana na changamoto za kiuchumi na kifedha kwa kutoa mikopo ya riba nafuu kwa wateja wake nawengine.
Kua taasisi ya kitaifa inayoongoza kwa kutoa mikopo ya riba nafuu kwa wateja wake.
Kampuni ya Uwezo Financial Services itachangia kuwezesha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wateja wake kupitia teknolojia ya huduma za kifedha na masoko.
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa
Familia ya makao makuu ya TAG inachukua wakati huu kutoa taarifa ya msiba wa aliyekua Mkurugenzi Kuu wa Idara ya Elimu Kitaifa Rev. Jonas Mkoba uliotokea Tarehe 01 mei 2023.
Idara ya watoto na wanafunzi kitaifa inachukua nafasi hii kuwatangazia waliimu na viongozi wa Idara ya watoto wote wa kanisa la TAG kua wiki la Idara litaanza hivi karibuni. Hivyo basi watoto na wanafunzi wote wanasisitizwa kuhudhuria katika ratiba zote sawa sawa na walivyopangiana katika kanisa la mahali pamoja.
Kutakua na Mkutano Mkuu wa Vijana yaani CA's ambao utafanyika CBC Dodoma hivyo Vijana wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa.