JIMBO
Kuhusu majimbo
Ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa maono, malengo na majukumu mengine ya kanisa kama yalivyoainishwa, TAG itagawanywa kijiografia katika majimbo. Majimbo yatakuwepo ya aina mbili: majimbo kamili na majimbo yanayoendelea.

Ili kuleta ufanisi katika utekelezaji wa maono, malengo na majukumu mengine ya kanisa kama yalivyoainishwa, TAG itagawanywa kijiografia katika majimbo. Majimbo yatakuwepo ya aina mbili: majimbo kamili na majimbo yanayoendelea.
Sababu za kugawa Majimbo ni:
Vigezo vya kugawa Jimbo kamili ni kama ifuatavyo:
Vigezo vya kugawa Jimbo linaloendelea ni kama ifuatavyo:
Kwa maelezo zaidi Nunua katiba yetu sasa, Ili kununua
Uamsho ni Ajenda yetu.
Saa ya Uamsho ni Sasa.