TAMKO KUHUSU USHOGA
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa

Maono ya DMS ni kuwa chombo cha kutafuta, kutunza na kuakisi Uwepo na Utukufu wa Mungu kupitia huduma ya Muziki na Ibada.
Idara ya DMS ipo ili kutunza uhai wa Kanisa kwa kuinua shauku na moyo wa Ibada iliyojaa madhihirisho ya nguvu za Roho Mtakatifu
Kufanyika “mkono” wa ofisi kuu, kamati za majimbo, kamati za Sehemu na uongozi wa Kanisa la mahali pamoja kuwafundisha washirika wa TAG kumwabudu Mungu katika uzuri (ubora) na utakatifu.
Idara ya Muziki na uimbaji kitaifa ilianzishwa rasmi mwezi septemba mwaka 2021. Kama kitengo cha muziki na uimbaji cha kusimamia mchakato wa uanzishwaji wa wa Idara hii wakati wa uongozi wa Askofu Mkuu wa TAG Dr.Rev. Barnabas Mtokambali. Uanzishwaji huu ulitoka na lengo mkakati (B4) la Miaka Kumi na tatu ya Moto wa Uamsho, linalotoa ufafanuzi kuwa Idara ya muziki na uimbaji ianzishwe na kuanza kufanya kazi ...
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa
Familia ya makao makuu ya TAG inachukua wakati huu kutoa taarifa ya msiba wa aliyekua Mkurugenzi Kuu wa Idara ya Elimu Kitaifa Rev. Jonas Mkoba uliotokea Tarehe 01 mei 2023.
Idara ya watoto na wanafunzi kitaifa inachukua nafasi hii kuwatangazia waliimu na viongozi wa Idara ya watoto wote wa kanisa la TAG kua wiki la Idara litaanza hivi karibuni. Hivyo basi watoto na wanafunzi wote wanasisitizwa kuhudhuria katika ratiba zote sawa sawa na walivyopangiana katika kanisa la mahali pamoja.
Kutakua na Mkutano Mkuu wa Vijana yaani CA's ambao utafanyika CBC Dodoma hivyo Vijana wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa.