TAMKO KUHUSU USHOGA
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa

Makamu Askofu Mkuu wa TAG
Jina Kamili | : Magnus Mpendakula Mhiche (DR) |
Kuzaliwa | : 6 februali, 1954 |
Alipozaliwa | : Kilombero |
Jinsia | : Mwanaume |
Hali ya ndoa | : Ameoa |
Anwani ya ofisi | : S.L.P 8427 DODOMA-TANZANIA |
Utaifa | : Tanzania |
Lugha | : Kiingereza na Kiswahili |
Kiwango cha elimu | : Daktari |
TAASISI/SHULE/CHUO | MWAKA | NGAZI ALIYOFIKIA |
---|---|---|
Kituo cha Theolojia ya Utume na Uinjilisti ASIA-SINGAPORE | 1986-1987 | Ngazi ya Cheti katika Uongozi na Uchungaji |
Taasisi ya Elimu ya Watu wazima | 1981-1982 | Astashahada ya Kiingereza kama Lugha ya Kigeni |
Chuo cha Biblia Mbeya | 1977-1979 | Stashahada ya Theolojia katika Biblia |
Taasisi ya Ukuzaji Mauzo | 1974 | Astashahada katika Utunzaji wa stoo na akaunti za Stoo |
Amekua Mchungaji kwa zaidi ya miaka 33 Mpaka sasa.
Amekua Mwangalizi wa sehemu kwa mwaka Mmoja.
Amekua Mwangalizi wa Sehemu kwa mwaka Mmoja.
Amekua Askofu wa Jimbo kwa miaka 16.
Amekua Mkurugenzi wa Idara ya Uinjilisti Kitaifa kwa miaka Minne.
Amekua Mkurugenzi wa Idara ya Umisheni Kitaifa kwa miaka Minne.
Amekua Mkurugenzi wa Idara ya Miradi na Maendeleo Kitaifa kwa mwaka Mmoja.
Amekua Makamu Askofu Mkuu wa TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD kwa zaidi ya Miaka mitano Mpaka sasa.
Makamu Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God.
Mchungaji kiongozi wa kanisa la Mbagala Kizuiani.
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Miradi na maendeleo Taifa.
Kusimamia Shughuli za uendeshaji wa makanisa ya mahali pamoja zaidi ya 6000 yaliyoenea nchi nzima.
Kusimamia ofisi nzima ya TAG makao makuu na uendeshaji wake.
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa
Familia ya makao makuu ya TAG inachukua wakati huu kutoa taarifa ya msiba wa aliyekua Mkurugenzi Kuu wa Idara ya Elimu Kitaifa Rev. Jonas Mkoba uliotokea Tarehe 01 mei 2023.
Idara ya watoto na wanafunzi kitaifa inachukua nafasi hii kuwatangazia waliimu na viongozi wa Idara ya watoto wote wa kanisa la TAG kua wiki la Idara litaanza hivi karibuni. Hivyo basi watoto na wanafunzi wote wanasisitizwa kuhudhuria katika ratiba zote sawa sawa na walivyopangiana katika kanisa la mahali pamoja.
Kutakua na Mkutano Mkuu wa Vijana yaani CA's ambao utafanyika CBC Dodoma hivyo Vijana wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa.