Miaka kumi na tatu ya Moto wa uamsho tunamtaka Bwana na nguvu zake
Ni kuhakikisha Injili inahubiriwa kwa nguvu za Roho Mtakatifu, Kwa njia inayoendana na mazingira ili watu wa Tanzania na ulimwenguni kote wapate kusikia habari za Bwana na Mwokozi Yesu Kristo kwa lengo la kuwafanya wawe Wanafunzi wake.