TAMKO KUHUSU USHOGA
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa

Miaka kumi na tatu ya Moto wa uamsho tunamtaka Bwana na nguvu zake
Kuwepo kwa Idara hii kunahamasisha wanaushirika huu kufanya uamuzi wa dhati kuleta mabadiliko katika maisha yao na jamii yote.
Maono ya CMF ni kuona mwanamume aliyerejea katika nafasi yake ya awali ya uumbaji wa Mungu na kufanyika sifa na utukufu wa Kristo ili kutimiza kusudi la Kristo kupitia Kanisa pamoja na malengo ya TAG kitaifa.
Kuwajenga na kuwaunganisha wanaume ambao ni washirika wa TAG ili kukuza umoja na ushirika miongoni mwao na kati yao na Kanisa (Mdo 2:44-47), Kujifunza kanuni mbalimbali za ki-Mungu za kufanikiwa kiroho na kimaisha ili kuwa kielelezo kizuri katika familia na jamii.
CMF ipo ili kuwezesha wanaume kuabudu, kuwa na ushirika, kujengana, kutumika na kufanya uinjilisti.
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa
Familia ya makao makuu ya TAG inachukua wakati huu kutoa taarifa ya msiba wa aliyekua Mkurugenzi Kuu wa Idara ya Elimu Kitaifa Rev. Jonas Mkoba uliotokea Tarehe 01 mei 2023.
Idara ya watoto na wanafunzi kitaifa inachukua nafasi hii kuwatangazia waliimu na viongozi wa Idara ya watoto wote wa kanisa la TAG kua wiki la Idara litaanza hivi karibuni. Hivyo basi watoto na wanafunzi wote wanasisitizwa kuhudhuria katika ratiba zote sawa sawa na walivyopangiana katika kanisa la mahali pamoja.
Kutakua na Mkutano Mkuu wa Vijana yaani CA's ambao utafanyika CBC Dodoma hivyo Vijana wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa.