TAMKO KUHUSU USHOGA
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa

Bofya hapa ili kuficha ufunguo au kusoma
Maana za rangi zilizotumika katika tarehe kuonesha ukubwa wa tukio na wahusika wakuu.
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
1 | Ibada /Sikukuu ya Mwaka Mpya | Makanisani | Washirika wote |
9 | Kufika Wajumbe wa Halmashauri Kuu | CBC DODOMA | Wajumbe wa H/Kuu |
10 | Kikao cha Halmashauri Kuu | CBC DODOMA | Wajumbe wa H/Kuu |
10 | Kufika Wajumbe wa Baraza la Watendaji | CBC DODOMA | Wajumbe wa Baraza |
11 - 15 | Vikao vya Baraza la Watendaji | CBC DODOMA | Wajumbe wa Baraza |
16jan - 05feb | Maombi Maalum ya Uamsho ya kitaifa ya Siku 21 | Makanisani nchi nzima | Washirika wote |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
7-9 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Kusini Mashariki | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
7-9 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Kaskazini Mashariki | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
14-16 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Ziwa | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
14-16 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Magharibi | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
21-23 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Kati | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
21-23 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
23-25 | Konferensi za Majimbo Kanda ya Kaskazini | Majimbo husika | Wajumbe halali wa Kikatiba |
27... | Wiki la WWK | Makanisani | WWK wote |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
1-5 | Wiki la WWK | Makanisani | WWK wote |
13-17 | Semina ya Uongozi ya ILI | Kanda ya Kaskazini – Chuo Cha NBC | Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo |
20-22 | Mkutano Mkuu AAGA | ACCRA Ghana | Askofu Mkuu |
20-24 | Semina ya Uongozi ya ILI | Kanda ya Kati – Chuo Cha CBC | Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo |
27-31 | Semina ya Uongozi ya ILI | CCT, Morogoro | Waalimu wa Vyuo Mama na Wenza Wao |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
...2 | Semina ya Uongozi ya ILI | CCT, Morogoro | Waalimu wa Vyuo Mama na Wenza Wao |
7 | Ijumaa Kuu | Makanisani | Washirika wote |
9 | Pasaka | Makanisani | Washirika wote |
10 | Jumatatu ya Pasaka | Makanisani | Washirika wote |
11-13 | Kikao cha Tathmini Robo ya I | Morogoro | Kamati ya Utendaji /Menejimenti |
17-21 | Semina ya Uongozi ya ILI | Kanda ya Ziwa – Chuo Cha LVBC | Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo |
24-28 | Semina ya Uongozi ya ILI | Kanda ya Magharibi – Chuo Cha WBC | Kamati za Sehemu, Kamati za Idara Sehemu na Jimbo. |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
1-7 | Wiki ya Idara ya Wanaume (CMF) | Makanisani | CMF wote |
7 | Makongamano ya Uamsho – Wiki ya Pentekoste | Makanisani | Washirika wote |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
5-11 | Wiki ya Idara ya Watoto na Wanafunzi | Makanisani | Idara ya Watoto na Wanafunzi |
12-16 | Mkutano Mkuu wa Idara ya CAs Taifa | CBC DODOMA | Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu CAs |
19-23 | Mkutano Mkuu wa Idara ya WWK Taifa | CBC DODOMA | Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu WWK |
19-23 | Mafunzo ya Ancient Promise | Livingstone Seminary, Muheza, Tanga | Kamati zote za Sehemu-Kanda ya Kaskazini Mashariki |
21-23 | Kongamano la Kimataifa la Wainjilisti (Global Evangelist Alliance) | Amsterdam - Uholanzi | Wainjilisti |
25-30 | Mkutano Mkuu wa Idara ya DLD (Bodi Kufika tar.25; Wajumbe Kufika tar.26) | Beroya-Bagamoyo | Waalimu Wote na Kamati za DLD Taifa hadi Kanisa la Mahali Pamoja |
26-30 | Mafunzo ya Ancient Promise | Zanzibar | Wachungaji Wote Jimbo la Zanzibar |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
3-7 | Makambi ya Watoto wa Wachungaji - PCF | Kimkoa | Watoto wote wa Wachungaji |
10-12 | Kikao cha Tathmini (Ofisi Kuu) Robo ya II | Morogoro | Kamati ya Utendaji / Management |
18-22 | Kambi ya Maombi Jimbo (District Upper Room Prayer Camp – “DUR-PC”) | Majimboni | Wanamaombi wote toka Idara, Sehemu na makanisani Jimbo Husika |
31.... | Wiki ya Uinjilisti | Makanisani | Idara ya Uinjilisti |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
....6 | Wiki ya Uinjilisti | Makanisani | Idara ya Uinjilisti |
21 | Wajumbe wa Halmashauri Kuu Kuwasili na Ufunguzi wa Kikao | CBC DDODOMA | Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu |
22 | Kikao cha Halmashauri Kuu | CBC DODOMA | Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu |
22 | Wajumbe wa Baraza la Waangalizi kuwasili na Ufunguzi wa Baraza la Waangalizi | CBC DODOMA | Wajumbe Baraza la Waangalizi |
23-25 | Kikao cha Baraza la Waangalizi | CBC DODOMA | Wajumbe Baraza la Waangalizi |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
25-30 | Wiki ya Idara ya Vijana | Makanisani | Idara ya CAs |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
....1 | Wiki ya Idara ya Vijana | Makanisani | Idara ya CAs |
4-7 | Kikao cha Tathmini Robo ya III na Bajeti 2024 | Morogoro | Kamati ya Utendaji /Menejimenti |
11-14 | 9th World Assemblies of God Congress | Madrid, Spain | Wachungaji wote |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
4 | Mahafali ya Vyuo vya GHBC, GU & SEBCO | Dar Es Salaam & Lindi | GHBC, GU & SEBCO |
7 | Mahafali ya Vyuo vya NBC & SBC | Mbeya & Arusha | NBC & SBC |
9 | Mahafali ya Vyuo vya LVBC & WBC | Mwanza & Tabora | LVBC & WBC |
11 | Mahafali ya Vyuo vya CBC & ACTS | DODOMA | CBC & ACTS |
12-17 | Kongamano la Taifa la Kusifu na Kuabudu | CBC DODOMA | Walimu wa Kwaya, Waimbaji binafsi, Vikundi vya Kusifu na Kuabudu |
20-24 | Mkutano Mkuu wa Idara ya Uinjilisti (Konferensi ya Wainjilisti) | CBC DODOMA/td> | Wainjilisti wote ngazi zote |
27-30 | Kambi ya Maombi Taifa (National Upper Room Prayer Camp – “NUR-PC”) | CBC DODOMA | Wanamaombi wote toka Idara, Majimbo, Sehemu na makanisani |
TAREHE | SHUGHULI | MAHALI | WAHUSIKA |
---|---|---|---|
3 | Siku ya Kuwapongeza Wachungaji | Makanisani | Washirika wote pamoja na Wachungaji |
7-11 | Makongamano ya Wanafunzi wa Vyuo na Sekondari – CASFETA | Kimkoa | Wanafunzi na Viongozi wa Vyuo na Sekondari |
25 | Sikukuu ya Krismasi | Makanisani | Washirika wote |
26 | Boxing day |
Kanisa la TAG limetoa Rasmi Tamko kuhusu Ushoga. Ili kupata nakala ya tamko hili.Bofya Hapa
Familia ya makao makuu ya TAG inachukua wakati huu kutoa taarifa ya msiba wa aliyekua Mkurugenzi Kuu wa Idara ya Elimu Kitaifa Rev. Jonas Mkoba uliotokea Tarehe 01 mei 2023.
Idara ya watoto na wanafunzi kitaifa inachukua nafasi hii kuwatangazia waliimu na viongozi wa Idara ya watoto wote wa kanisa la TAG kua wiki la Idara litaanza hivi karibuni. Hivyo basi watoto na wanafunzi wote wanasisitizwa kuhudhuria katika ratiba zote sawa sawa na walivyopangiana katika kanisa la mahali pamoja.
Kutakua na Mkutano Mkuu wa Vijana yaani CA's ambao utafanyika CBC Dodoma hivyo Vijana wote mnahimizwa kuhudhuria bila kukosa.